Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป Siku ya kihistoria kwa Taifa la Tanzania ufunguzi wa michuano ya CHAN.
    KITAIFA

    Siku ya kihistoria kwa Taifa la Tanzania ufunguzi wa michuano ya CHAN.

    By AdminAugust 2, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars itashuka leo dimbani majira ya saa 2 usiku katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kucheza na Timu ya Taifa ya Burkina Faso kwenye mchezo wa kwanza wa kundi B katika ufunguzi wa mashindano ya CHAN 2024.

    CHAN ni Mashindano yanayohusisha wachezaji wa ligi za ndani ambayo kwa mara ya kwanza yanafanyika Afrika Mashariki kwa ushirikiano wa Nchi tatu ambazo ni Tanzania Kenya na Uganda huku Tanzania ikiwa mwenyeji wa mchezo wa ufunguzi.

    Tanzania inakutana na Burkina Faso ambayo haijawahi kupata ushindi dhidi ya Taifa Stars wakiwa nyumbani katika michezo mitatu ya mwisho waliyokutana nayo hivi karibuni tangu mwaka 2006.

    Taifa Stars imeshinda mara mbili 2 dhidi ya Burkina Faso mchezo mmoja wakishinda wakiwa nyumbani na mmoja ugenini huku Burkina Faso wakipata ushindi mara moja wakiwa ugenini.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleBARCELONA YAVUNA ZAIDI YA BILIONI 130 KUITANGAZA CONGO
    Next Article MAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMAPILI TAREHE 3-8-2025

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.