Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป SELEMANI MWALIMU AWASILI TANZANIA KUJIUNGA RASMI NA SIMBA
    KITAIFA

    SELEMANI MWALIMU AWASILI TANZANIA KUJIUNGA RASMI NA SIMBA

    By AdminAugust 26, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    selemani mwalimu
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Mshambuliaji mpya wa Timu ya Taifa Stars Suleman Mwalimu amewasili jijini Dar es salaam kukamilisha taratibu za kujiunga na klabu ya Simba kwa mkopo wa mwaka mmoja akitokea Wydad Athletic.

    Mwalimu ambaye alikiwasha ligi kuu Tanzania bara akiwa na Singida BS na Fountain Gate atasalia jijini Dar es akiendelea na mazoezini binafsi mpaka pale kikosi cha Simba kitakaporejea nchini kutoka Misri kilipoweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya.

    Simba itarejea Alhamisi ya Agosti 28 baada ya kukamilisha wiki nne za mazoezi katika kambi waliyokuwa wameiweka Ismailia na Cairo Nchini Misri.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleARAFAT ASEMA MIKAKATI YA YANGA KWENYE KUIBAKISHA NGAO YA JAMII JANGWANI
    Next Article YANGA KUKIPIGA DHIDI YA BANDARI YA KENYA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.