Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » Ratiba ya Robo Fainali CHAN 2025 | Mechi za Robo fainali CHANI
    KITAIFA

    Ratiba ya Robo Fainali CHAN 2025 | Mechi za Robo fainali CHANI

    By AdminAugust 18, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Ratiba ya Robo Fainali CHAN 2025
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Ratiba ya Robo Fainali CHAN 2025 | Mechi za Robo fainali CHANI

    Mashindano ya CHAN 2025 yanaingia katika hatua ya kukatana shoka zaidi baada ya ratiba ya mechi za robo fainali kuthibitishwa rasmi. Hatua hii ni muhimu kwani inaamua timu zitakazofuzu kuingia nusu fainali na hatimaye kuwania taji la mashindano haya.

    Kwa mashabiki wa soka barani Afrika, hii ni nafasi ya kushuhudia vipaji vya wachezaji wanaocheza ligi za ndani wakionyesha ubora wao kwenye uwanja mkubwa wa kimataifa. Katika makala hii tutaangazia Ratiba ya Robo Fainali CHAN 2025 | Mechi za Robofainali CHANI, pamoja na siku, muda, na viwanja vitakavyotumika kuchezwa michezo hiyo.

    Ratiba ya Robo Fainali CHAN 2025

    Robo fainali ya michuano ya CHAN 2025 itachezwa kuanzia Ijumaa, tarehe 22 Agosti 2025 na kuendelea siku inayofuata. Mechi hizo zimepangwa katika viwanja vikubwa vya Afrika Mashariki ambavyo vimepewa heshima ya kuandaa hatua hii ya michuano.

    Ijumaa, 22 Agosti 2025

    • 17:00 – Kenya vs Madagascar – Moi Sports Centre Kasarani, Nairobi
    • 20:00 – Tanzania vs Morocco – Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam

    Jumamosi, 23 Agosti 2025

    • 17:00 – Robo Fainali ya 3 – Uwanja wa Amaan, Zanzibar
    • 20:00 – Robo Fainali ya 4 – Uwanja wa Mandela National Stadium, Kampala
    CAF
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleROONEY AWAONYA LIVERPOOL JUU YA MCHEZAJI ‘ISACK’ KUIGOMEA NEWCASTLE
    Next Article Msimamo wa Ligi Kuu England EPL 2025/2026

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.