Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » Nani kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa FIFA leo
    KITAIFA

    Nani kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa FIFA leo

    By AdminDecember 16, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Washindi wa Tuzo za Mchezaji Bora za FIFA za mwaka 2025 watatangazwa usiku wa leo Jumanne, Desemba 16, mjini Doha, Qatar.

    Washindi katika vipengele mbalimbali akiwemo Mchezaji Bora wa Kiume na Wanawake wanatarajiwa kutangazwa hivi karibuni.

    Walioteuliwa kuwa Mchezaji Bora wa FIFA wa Wanaume ni pamoja na Ousmane Dembélé, Achraf Hakimi, Harry Kane, na Kylian Mbappé.

    Walioteuliwa kuwa Mchezaji Bora wa FIFA wa Wanawake ni pamoja na Sandy Baltimore, Nathalie Bjorn, Aitana Bonmatí, na Lucy Bronze.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleHII HAPA HISTORIA YA AFCON, ILIYOBEBA MATUKIO MAKUBWA
    Next Article Simba Yatia Fora, Yatoa Jezi Sawa na Bure

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.