Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » NAJIONA MTU MWENYE BAHATI SANA KUISHABIKIA YANGA – HARMONIZE
    KITAIFA

    NAJIONA MTU MWENYE BAHATI SANA KUISHABIKIA YANGA – HARMONIZE

    By AdminJuly 7, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Harmonize
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Staa wa muziki wa kizazi kipya nchini, Harmonize a.k.a Konde Boy, amefunguka kwamba ubingwa wa Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho iliyotwaa Yanga msimu huu vimempa furaha kubwa kwani, kulikuwa na kelele na hila nyingi kabla ya msimu wa 2024-2025 kufikia tamati.

    Harmonize ambaye ni shabiki wa Yanga, amesema anajiona mwenye bahati kwa kuishabikia timu yenye kubeba makombe kila uchao.

    “Najiona ni mtu mwenye bahati sana kuishabikia hii klabu yenye kubeba makombe kila kukicha. Najiona ni mwenye bahati sana kuishi kwenye hii karne  nakuweza kuiona Yanga SC noma kuliko Yanga ya msimu wowote,” alisema Harmonize na kuongeza;

    “Kuna muda hua nawaza hawa wenzangu wanaoshabikia timu nyingine walikua wapi kipindi sisi tunafanya chaguzi? Ndipo nagundua kwanini huwa wanapata maradhi kama vile pressure, kisukari na magonjwa mengine,” alitania.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleTETESI ZA USAJILI SIMBA LEO 2025/26
    Next Article CHAN MAMBO YANAZIDI KUPAMBA MOTO, WACHEZAJI WAELEKEA MISRI

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.