Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » MZIZE KULIPWA MSHAHARA MREFU YANGA SC
    KITAIFA

    MZIZE KULIPWA MSHAHARA MREFU YANGA SC

    By AdminAugust 26, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Yanga SC
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    MSHAMBULIAJI wa Yanga SC, Clement Mzize kuna uwezekano mkubwa akabaki ndani ya kikosi hicho kwa msimu wa 2025/26 na atakuwa anakunja mshahara mrefu kwa mwezi.

    Taarifa zilikuwa zinaeleza kuwa Mzize kuna timu ambazo zinahitaji huduma yake kutoka Ulaya jambo ambalo lilikuwa linasubiriwa ni kuisha kwa mashindano ya CHAN. Wakati mashindano yanaendelea Tanzania imeishia hatua ya robo fainali.

    Taarifa zinaeleza kuwa Mzize ambaye kwenye ligi alifunga mabao 14 akiwa mshambuliaji mzawa mwenye mabao mengi katika CHAN a2024 alifunga mabao mawili huenda hataondoka kwa ajili ya changamoto mpya atasalia Yanga SC.

    Mshambuliaji huyo inatajwa kuwa alikaa kikao na viongozi wa Yanga SC wakifikia makubaliano ya kuongeza mshahara wake na posho.

    Kwa mujibu wa chanzo cha Habari kutoka ndani ya Yanga, mshambuliaji huyo amefanyiwa maboresho ya mshahara wake ambao unafikia zaidi ya milioni 45 atakaoupata hadi msimu 2026/27.

    Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ali Kamwe alizungumzia hilo kwa kusema kuwa “Zipo ofa mbili kutoka ndani nan je ya Afrika zikimuhitaji Mzize, Uongozi unazipitia hivi sasa lakini ikumbukwe bado mchezaji wa Yanga hadi 2027.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleYANGA KUKIPIGA DHIDI YA BANDARI YA KENYA
    Next Article JKT Queens njia nyeupe kufuzu CAF Women Champions League

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.