Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป Mukwala Mambo Bado Magumu Simba, Shida Nini!!?
    KITAIFA

    Mukwala Mambo Bado Magumu Simba, Shida Nini!!?

    By AdminNovember 12, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Msimu wa 2025/26 umeendelea kuwa mgumu kwa mshambuliaji wa Simba SC, Steven Mukwala, ambaye bado hajafanikiwa kufungua akaunti ya mabao kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara.

    Mukwala hajaonyesha ubora unaotarajiwa kutoka kwake, licha ya kupata nafasi kadhaa za kufunga katika mechi za ushindani. Kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania uliochezwa Novemba 8, 2025, straika huyo alikosa nafasi tatu za wazi, moja kati ya hizo ikiwa ni clear chance ambayo alishindwa kutumia vyema na badala yake kumpasia mlinda mlango wa JKT Tanzania aliyeokoa hatari hiyo.

    Mchezaji huyo alitumia dakika 60 uwanjani kabla ya nafasi yake kuchukuliwa na Jonathan Sowah, ambaye alifunga bao la ushindi kwa kutumia pasi safi kutoka kwa kiungo mshambuliaji Morice Abraham.

    Kwa sasa, Simba SC ipo nafasi ya pili katika msimamo wa ligi baada ya michezo mitatu, ikiwa imefunga jumla ya mabao nane na kukusanya pointi tisa. Mukwala amecheza mechi mbili kati ya tatu za msimu huu, huku akikosekana katika mchezo mmoja.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleRais Karia Amtimbia Gamondi Mazoezini, Amkumbusha Haya
    Next Article Hawaongozi Ligi, Ni Wamecheza tu Mechi Nyingi

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.