Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » Msimamo wa Ligi kuu NBC Tanzania 2025/2026
    KITAIFA

    Msimamo wa Ligi kuu NBC Tanzania 2025/2026

    By AdminOctober 1, 2025No Comments3 Mins Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Msimamo wa Ligi kuu NBC Tanzania 2025/2026
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Msimamo wa Ligi kuu NBC Tanzania 2025/2026

    Msimamo wa Ligi kuu NBC Tanzania 2025/2026Msimu wa 2025/2026 wa Ligi Kuu NBC Tanzania umeanza rasmi leo, Septemba 17, ambapo mashabiki wa soka nchini wamefurahia kushuhudia pambano la ufunguzi lililozikutanisha timu za Coastal Union na Tanzania Prisons. Katika mchezo huo uliojaa ushindani, Coastal Union iliibuka kidedea baada ya kuibamiza Tanzania Prisons bao 1–0, ushindi ambao uliwapa mwanzo mzuri katika safari yao ya msimu huu mpya wa ligi.

    Msimu huu wa 2025/2026 unatarajiwa kuwa wenye ushindani mkubwa zaidi ukizangatia mabadiliko makubwa ya vikosi na benchi la ufundi yaliyofanywa na vilabu mbalimbali haswa Azam Fc, Singida Bs, Simba Sc na YantgaJe, Yanga SC wataweza kutetea ubingwa wao?

    Azam FC, Singida Bs na Simba SC zitaweza kumaliza utawala wa Yanga msimu huu? Je, tutashuhudia timu zingine zikiibuka na kuwa miongoni mwa washindani wakuu? Maswali haya na mengine mengi yatajibiwa kadri msimu huu utakavyokuwa ukiendelea.

    Mashabiki wa soka Tanzania wana kila sababu ya kutazamia msimu uliojaa msisimko, ushindani mkali, na mshangao mwingi. Ligi Kuu ya NBC 2025/2026 inaahidi kuwa msimu ambao hautakumbukwa tu kwa matokeo yake, bali pia kwa ubora wa soka litakalochezwa.

    Msimamo wa Ligi kuu NBC Tanzania 2025/2026 | Msimamo Ligi Kuu Bara

    Pos Timu P W D L GF GA GD Pts
    1 Singida Black Stars 2 2 0 0 2 0 2 6
    2 Young Africans 2 1 1 0 3 0 3 4
    3 Dodoma Jiji FC 3 1 1 1 4 3 1 4
    4 JKT Tanzania 2 1 1 0 3 2 1 4
    5 Namungo FC 2 1 1 0 2 1 1 4
    6 Mashujaa FC 3 1 1 1 2 2 0 4
    7 Mbeya City 3 1 1 1 1 2 -1 4
    8 Simba 1 1 0 0 3 0 3 3
    9 Azam FC 1 1 0 0 2 0 2 3
    10 Mtibwa Sugar 2 1 0 1 2 1 1 3
    11 KMC 3 1 0 2 1 2 -1 3
    12 Tanzania Prisons 3 1 0 2 1 2 -1 3
    13 Coastal Union 3 1 0 2 2 4 -2 3
    14 Tabora 2 0 2 0 2 2 0 2
    15 Pamba 3 0 2 1 1 4 -3 2
    16 Fountain Gate 3 0 0 3 0 6 -6 0
    • MP- Michezo Iliyochezwa (Match Played)
    • W- Ushindi (Winsi)
    • D- Sare (Draw)
    • L-Kufungwa (Lose)
    • GF- Magoli Ambayo Timu Imefunga (Goal For)
    • GA- Magoli Ambayo Timu Imefungwa (Goals Against)
    • GD- Tofauti Ya Magoli (Goal Difference)
    • PTS- Jumla Ya Alama (Points)
    TFF
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleSimba vs Namungo FC Leo 01/10/2025 Saa Ngapi?
    Next Article WACHEZAJI WAWILI SIMBA KUUKOSA MCHEZO NA NAMUNGO

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.