Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป Mechi ya Yanga vs Kabylie CAF ni Lini? Tarehe, Saa na Mahali
    KITAIFA

    Mechi ya Yanga vs Kabylie CAF ni Lini? Tarehe, Saa na Mahali

    By AdminFebruary 12, 2026No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Mechi ya Yanga vs Kabylie CAF ni Lini Tarehe Saa na Mahali
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Mechi ya Yanga vs Kabylie CAF ni Lini? Tarehe, Saa na Mahali

    Timu ya Wananchi Yanga SC itashuka dimbani kuikabili JS Kabylie katika mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa, huku wakisaka matokeo chanya kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo huo ndio mchezo utakao hitimisha michezo ya hatua ya makundi na unatarajiwa kufuatiliwa na mashabiki wengi, huku ratiba, saa ya kuanza na njia ya kuutazama zikithibitishwa rasmi.

    Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa, Yanga itakuwa dimba la New Amaan Complex siku ya Jumapili, Februari 15, ikimenyana na wapinzani wao kutoka Algeria katika pambano lenye umuhimu wa kiushindani ndani ya ratiba ya michuano hiyo.

    Tarehe na Saa ya Mchezo wa Yanga vs Kabylie

    • Tarehe: Jumapili, Februari 15
    • Uwanja: New Amaan Complex
    • Muda wa kuanza: Saa 1:00 usiku

     

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleTimu Zilizofuzu Robo Fainali Klabu Bingwa Afrika 2025/2026 CAF
    Next Article YANGA YATANGAZA VITA, PRESHA YAHAMIA ZANZIBAR

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.