Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป MBEBA MIKOBA YA CHAMA KWENYE MTEGO SIMBA SC
    KITAIFA

    MBEBA MIKOBA YA CHAMA KWENYE MTEGO SIMBA SC

    By AdminJune 29, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    KIUNGO wa Simba SC, Deborah Mavambo ambaye ni ingizo jipya katika kikosi hicho kwa msimu uliogota mwisho wa 2024/25 yupo kwenye mtego ndani ya kikosi hicho kutokana na kiwango chake kuporomoka mwanzo mwisho.

    Nyota huyo kwenye mechi za awali alianza kuonyesha ubora wake lakini kadri siku zilivyokuwa zinazidi uwezo wake ulikuwa unaporomoka. Atakumbukwa kwenye mchezo wa Simba Day, jina lake liliimbwa kutokana na kiwango bora katika matumizi ya nguvu kwenye mguu wake wa kulia.

    Ni jezi namba 17 alikabidhiwa ambayo ilikuwa inavaliwa na kiungo Clatous Chama ambaye yupo ndani ya Yanga SC kwa msimu wa 2024/25. Mavambo alikuwa anapewa nafasi kufanya vizuri kitaifa na kimataifa mwisho akajenga ushikaji na benchi.

    Mchezo wa mwisho wa Kariakoo Dabi, dhidi ya Yanga SC Juni 25 2025 hakupata nafasi yakucheza mchezo huo jambo ambalo linaonyesha kuwa ni mtego kwake.

    Taarifa zinaeleza kuwa kuna wachezaji ambao watakutana na Thank You ndani ya kikosi cha Simba SC kutokana na kushindwa kuwa katika ubora huku jina la Mavambo likitajwa.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleOFISA HABARI WA AZAM FC ANALITAKA JIMBO
    Next Article SIMBA SC YASAKA KIPA KUMPA CHANGAMOTO CAMARA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.