Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » MASTAA YANGA SC WAKIMBIZWA KUSAKA PUMZI NA UIMARA
    KITAIFA

    MASTAA YANGA SC WAKIMBIZWA KUSAKA PUMZI NA UIMARA

    By AdminAugust 20, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    MASTAA wa kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu,Romain Folz Agosti 19 2025 walikuwa kwenye mazoezi maalumu katika fukwe za Coco Beach Dar kwa lengo la kusaka pumzi na kuwa imara zaidi.

    Ikumbukwe kwamba Yanga SC ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika.

    Msimu wa 2024/25 walikuwa chini ya Kocha Mkuu, Miloud Hamdi ambaye alipewa Thank You na mikoba yake ipo mikononi mwa Folz.

    Kwenye program ya ufukweni wachezaji walikuwa kwenye kazi kubwa chini ya kocha wa viungo Chyna Mok ambaye aliweka wazi kuwa ni mpango maalumu kuhakikisha kuwa wachezaji wanakuwa fiti asilimia kubwa.

    “Malengo yetu ni kuona kwamba wachezaji wanakuwa fiti asilimia kubwa na kila kitu kinakwenda vizuri.Tunahitaji kuwa imara hasa ukizingatia kwamba Yanga SC ni timu kubwa na wachezaji wanatambua hilo,”.

    Miongoni mwa wachezaji ambao walikuwa kwenye program hiyo ni Fardi Mussa, Bakari Nondo,Pacome, Kibwana Shomari.

    Yanga SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticlePITIA MAGAZETI YA MICHEZO LEO TAREHE 20 AGOSTI 2025
    Next Article MASHABIKI WA SIMBA SASA KUSAJILIWA KAMA WANACHAMA WAPYA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.