Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » MAGORI AAHIDI KUIRUDISHA HESHIMA YA SIMBA
    KITAIFA

    MAGORI AAHIDI KUIRUDISHA HESHIMA YA SIMBA

    By AdminSeptember 9, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Magori
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Crecentius Magori, amesema yeye na wenzake wanakwenda kurudisha heshima ya klabu hiyo nchini na kuendelea kuwa ya kutisha na kuogopwa katika soka la Afrika.

    “Simba ni klabu kubwa sana, ni klabu ambayo haina mfano Tanzania na Afrika Mashariki na Kati. Mimi na mwenzangu hapa mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu, huyu bwana ni rafiki yangu sana, watu wanasema maneno mengi, achana na meno, achana na mambo yote, tunakwenda kufanya kazi kubwa na ya maana kwa ajili ya Simba.

    “Kama kweli wewe ni Simba, tunashinda wote, tukikwama ni wote, hakuna kusema fulani amekwama. Nawaomba wanachama kuanzia sasa tuwe kitu kimoja, tupambane. Na yule ambaye hataki tuwe kitu kimoja kuisapoti Simba, tutammulika, ataonekana, atabaki wazi na atakimbia mwenyewe.”

    Kwa hiyo ndugu zangu mikakati ni mingi, mapambano ni makubwa, lakini kwa kazi kubwa tutakayofanya, kwa kudra za Mwenyezi Mungu tutafanikiwa kwa pamoja kuivusha Simba yetu, kurudisha heshima yake kwenye soka la Tanzania na kuendelea kutisha Afrika nzima,” alisema.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleDKT. BITEKO AHIMIZA WANAMICHEZO KUCHUNGUZA AFYA ZAO
    Next Article KINDA WA AJAX AVITOA UDENDA VILABU VIKUBWA DUNIANI

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.