Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป KOCHA WA GABORONE KURITHI MIKOBA YA FADLU SIMBA
    KITAIFA

    KOCHA WA GABORONE KURITHI MIKOBA YA FADLU SIMBA

    By AdminOctober 3, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    INAELEZWA kuwa Bulgaria Dimitar Pantev mwenye miaka 49 huenda akapewa mikoba ya kukinoa kikosi cha Simba SC ambacho kwa sasa hakina kocha mkuu.

    Taarifa zinaeleza kuwa muafaka mzuri umefikiwa kwa pande zote mbili ambapo mpango kazi ukikamilika atakuja Tanzania kuchukua nafasi ya Fadlu Davids aliyepata dili Raja Casablanca na tayari ameanza kazi.

    Inaelezwa kuwa Simba wamekubali kulipa fidia za kuvunja mkataba wa kocha huyo aliyekuwa anaifundisha Klabu ya Gaborone United ya Botswana.

    Ikumbukwe kwamba Gaborone United ilicheza na Simba SC katika Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali, katika mchezo uliochezwa Dar kocha huyo alikuwa kwenye benchi la ufundi la Gaborone United.

    Kocha huyo aliwahi kuzifundishwa klabu za Orapa United, Victoria United na FC Johansen anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania mwishoni mwa wiki kukamilisha mpango kazi wa kujiunga na Simba SC.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMBINU ZA TUCHEL ZAWATEMA BELLINGHAM, FODEN NA GREALISH
    Next Article KOCHA ANAETAJWA KUTUA SIMBA AAGWA NA KLABU YAKE RASMI

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.