Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป KOCHA FOLZ BADO YUPO YUPO SANA YANGA
    KITAIFA

    KOCHA FOLZ BADO YUPO YUPO SANA YANGA

    By AdminOctober 1, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    WAKATI tetesi zikieleza kuwa kuna uwezekano wa Roman Folz, Kocha Mkuu wa Yanga SC akakutana na Thank You taarifa zinaeleza kuwa bado yupoyupo ndani ya kikosi hicho.

    Yanga SC ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara ya NBC msimu wa 2025/26 wamecheza mechi mbili pekee ambazo ni dakika 180.

    Mechi ya ufunguzi walipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Pamba Jiji FC mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Dar.

    Mchezo wa pili walitoshana nguvu kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Sokoine, Mbeya ukisoma Mbeya City 0-0 Yanga SC.

    Ilikuwa ni Desemba 30 2025 walipogawana pointi mojamoja ikiwa ni sare ya kwanza kwa Folz ndani ya ligi msimu wa 2025/26.

    Taarifa zinaeleza kuwa kwa sasa Yaga SC haina mpango wa kuachana na kocha huyo na badala yake wanafanya mazungumzo naye kuona namna ya mwendo wa timu na pale ambapo kunatatizo ili kuboresha zaidi.

    Ikumbukwe kwamba kwa sasa watani zao wa jadi Simba SC hawana kocha mkuu hivyo nao wanatajwa kutokuwa tayari kuendelea msimu bla ya kocha.

    Yanga SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleTETESI: SIMBA YAMTAKA KOCHA WA ZAMANI WA YANGA
    Next Article HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 2, 2025

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.