Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป KIBU DENNIS WA SIMBA SC 2024/25 MABAO MANNE
    KITAIFA

    KIBU DENNIS WA SIMBA SC 2024/25 MABAO MANNE

    By AdminJuly 7, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    SIMBA SC katika anga la kimataifa msimu wa 2024/25 imegotea nafasi ya pili kwa kupoteza mchezo wa fainali dhidi ya RS Berkane ya Morocco.

    Katika dakika 180, Simba SC ilifungwa jumla ya mabao 3-1, bao la kufutia machozi kwa Simba SC lilifungwa na Joshua Mutale mchezo uliochezwa Uwanja wa New Amaan Complex.

    Kibu Dennis ni miongoni mwa wachezaji ambao walikuwa katika ubora kwenye mashindano ya kimataifa kwa kufunga mabao muhimu katika mechi za ushindani Kombe la Shirikisho Afrika.

    Katika Ligi Kuu Bara 2024/25 haukuwa msimu bora kwa Kibu D kutokana na namba kuwa chini hasa katika eneo la kutengeneza pasi za mwisho.

    Kibu D alitoa jumla ya pasi nne na kufunga mabao manne na kasi katika kufunga mabao ilianza kuonekana katika mzunguko wa pili.

    Rekodi zinaonyesha kuwa amecheza jumla ya mechi 24 za ligi ya NBC akifunga mabao manne na kutoa pasi nne hivyo kahusika katika mabao 8 kati ya 69 yaliyofungwa na Simba SC.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleZAMBIA NA MOROCCO WAIANZISHA WAFCON KWA SARE
    Next Article TETESI ZA USAJILI SIMBA LEO 2025/26

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.