Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » KIBABAGE KUIBUKIA RASMI SINGIDA BLACK STARS
    KITAIFA

    KIBABAGE KUIBUKIA RASMI SINGIDA BLACK STARS

    By AdminAugust 27, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    kibabage
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    ALIYEKUWA beki wa kushoto wa Yanga SC, Nickson Kibabage tayari amejiunga na Singida Black Stars kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya mara baada ya kuachana na timu hiyo, katika msimu ujao.

    Beki huyo alikuwa katika kikosi cha Yanga SC msimu wa 2024/25. Alitwaa taji la ligi chini ya Kocha Mkuu Miloud Hamdi ambaye kwa sasa hayupo ndani ya kikosi hicho.

    Timu hiyo inanolewa na Romain Folz ambaye ni raia wa Ufaransa kwa sasa wapo kwenye maandalizi ya msimu mpya 2025/26.

    Inaelezwa kuwa taratibu zote za uhamisho wa beki huyo aliyempisha Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ aliyejiunga na Yanga SC kwa mkataba wa miaka miwili ambaye kwa sasa atakuwa kwenye changamoto mpya.

    Kibabage hakuwa chaguo la kwanza msimu uliopita kwenye mechi 30 za ligi alipata nafasi ya kucheza jumla ya mechi 12 pekee msimu wa 2024/25.

    Katika mechi hizo 12 alikomba jumla ya dakika 889, hivyo huenda akawa kwenye changamoto mpya msimu ujao unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

    Ikumbukwe kwamba anarejea kwenye timu ambayo aliwahi kucheza kabla ya kujiunga na Yanga SC.

    Yanga SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleSIMBA SC WAWATULIZA WAARABU, MPANZU NA KIBU WACHEKA NA NA NYAVU
    Next Article CARABAO CUP: EVERTON, FULHAM, BRIGHTON NA MAN UNITED KAZINI LEO USIKU!

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.