Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » KAMWE AMJIBU FADLU NA KUSEMA SISI TUNAO WA MARA TATU
    KITAIFA

    KAMWE AMJIBU FADLU NA KUSEMA SISI TUNAO WA MARA TATU

    By AdminSeptember 3, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    KAULI ya Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids kwamba kikosi chake kinakosa mchezaji mwenye uwezo wa kipekee wa kuamua matokeo ya mechi (maarufu kama X-Factor) imeibua majibu kutoka kwa wapinzani wao wa jadi, Yanga SC.

    Msemaji wa Yanga, Ally Kamwe, hakusita kumjibu Davids kwa tambo akibainisha kuwa ndani ya kikosi cha Wananchi kuna wachezaji kadhaa wenye uwezo huo na zaidi.

    “Hakuna changamoto ya X-Factor ndani ya Yanga. Tuna wachezaji wengi ambao wanaweza kuibadilisha mechi kwa dakika chache tu. Hata baadhi yao tumeongeza kiwango chao cha ubora kiasi kwamba sasa wana X-Factor tatu,” alisema Kamwe.

    Akitaja baadhi ya nyota hao, Kamwe alimtaja Maxi Nzengeli, Clement Mzize na nyota mpya Pacome Zouzoua, akisisitiza kuwa wote ni wachezaji wenye uwezo wa kubeba mchezo mmoja kwa kipaji chao binafsi.

    “Huyu Pacome hata msimu uliopita alithibitisha ubora wake. Lakini kuanzia msimu ujao, kutokana na kiwango chake, atakuwa na X-Factor tatu,” aliongeza Kamwe kwa majigambo.

    Kauli hii inaendeleza mvutano wa maneno kati ya vigogo hao wa soka la Tanzania, jambo linaloongeza ladha ya ushindani kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu Bara.

    Simba SC Yanga SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleYANGA KWA SASA NI MWENDO WA “KUPIGA KICHWANI TU”
    Next Article SIMBA YATAMBULISHA CHUMA KIPYA CHA MOTO

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.