Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป KAIZER CHEIF WAWEKA MZIGO KUMPATA AHOUA
    KITAIFA

    KAIZER CHEIF WAWEKA MZIGO KUMPATA AHOUA

    By AdminJune 7, 20251 Comment1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    INAELEZWA kuwa Jean Ahoua kiungo mshambuliaji wa Simba SC chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Fadlu Davids kwenye mechi za ushindani ndani ya msimu wa 2024/25 yupo kwenye rada za mabosi wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini.

    Ahoua ni anayevaa jezi namba 10 mgongoni ana uwezo kwenye kufunga na kutoa pasi za mabao akiingia kwenye orodha ya wakali wa mapigo huru ndani ya ligi msimu wa 2024/25.

    Katika mabao 15 aliyofunga mguu wake wenye nguvu ni ule wa kulia akiwa kafunga mabao 14 na kwa pigo la kichwa alifunga bao moja kwenye mchezo dhidi ya Pamba Jiji alipotumia pasi ya Ellie Mpanzu.

    Kwenye mchezo huo Ahoua alifunga hat trick yake ya kwanza akiwa na uzi wa Simba SC ambapo alichaguliwa kuwa mchezaji bora Simba SC iliposepa na pointi tatu mazima katika mchezo wa ligi.

    Taarifa zinaeleza kuwa mabosi kutoka Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini wanamfuatilia kwa ukaribu kiungo huyo ambaye amehusika katika mabao 23 ndani ya ligi namba nne kwa ubora kati ya 63 yaliyofungwa na timu hiyo kwenye ligi namba nne kwa ubora Afrika.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleUNAHITAJI SAMSUNG A25?, BASHIRI NA MERIDIANBET
    Next Article GIFT FRED: BEKI WA YANGA APATA DILI NONO

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    View 1 Comment

    1 Comment

    1. Yahaya kingaz omari on June 25, 2025 16:39

      muko pw sana kweny kutupa taarifa za kimichezo pig up san

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.