Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » JKT TANZANIA KUKOMAA NA KIPA NA BEKI ALIYETAJWA YANGA SC
    KITAIFA

    JKT TANZANIA KUKOMAA NA KIPA NA BEKI ALIYETAJWA YANGA SC

    By AdminAugust 6, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Jkt Tanzania
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    UONGOZI wa JKT Tanzania umebainisha kuwa wachezaji wao wote muhimu wana mipango nao hivyo itakuwa ngumu kwao kuondoka kwenda kupata changamoto mpya kwa msimu ujao.

    Ilikuwa inaelezwa kuwa timu zenye maskani yake Kariakoo ikiwa ni Simba SC na Yanga SC zilikuwa zinawania saini ya beki wa JKT Tanzania huku Simba SC ikipiga hesabu kupata saini ya kipa wa JKT Tanzania.

    Kwa maana hiyo kipa Yacoub Selemani na Wilson Nangu ambaye ni beki bado wapo ndani ya JKT Tanzania kuelekea msimu mpya wa 2025/26 baada ya madili yao kuzuiwa.

    Nangu na Yacouba ambao wapo katika kambi ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars inayoshiriki CHAN na Agosti 6 itakuwa na mchezo dhidi ya Mauritania, Uwanja wa Mkapa saa mbili usiku.

    Ofisa Habari wa JKT Tanzania, Masau Bwire anasema kuwa “Nangu na Yacouba wapo na wataendelea kuwepo hadi hadi 2028, hatuna mpango wa kuwauza kwa sasa kutokana na malengo tuliyokuwa nayo msimu ujao.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMPANZU AWASILI KAMBINI MISRI, AKABIDHIWA VIFAA VYAKE
    Next Article MOHAMMED HUSSEIN ATAMBULISHWA RASMI YANGA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.