Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป JEMBE JIPYA SIMBA SC LIMETAMBULISHWA NI SELEMAN MWALIMU
    KITAIFA

    JEMBE JIPYA SIMBA SC LIMETAMBULISHWA NI SELEMAN MWALIMU

    By AdminAugust 28, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Simba SC
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    RASMI Simba SC imemtambulisha mshambuliaji mpya ambaye atakuwa katika kikosi hicho kwa msimu ujao unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ndani ya uwanja.

    Nyota huyo ambaye ni mshambuliaji wa zamani wa Singida Black Stars alihudumu Fountain Gate kwa mkopo kisha aliuzwa Wydad Casablanca ya Morocco, anarejea Tanzania katika kikosi cha Simba SC.

    Atakuwa na uzi wa Simba SC kwa mkopo kwa kuwa ni mali ya Wydad Casablanca ambayo imefikia makubaliano na Simba SC kuhusu mchezaji huyo mzawa.

    Ikumbukwe kwamba Simba SC kambi yake ilikuwa Misri na kikosi hicho kinatarajiwa kurejea Tanzania leo Agosti 28 2025 kwa maandalizi ya mwisho kuelekea Simba Day.

    Tayari uongozi wa Simba SC umetangaza siku ya tamasha lao la kuwatambulisha wachezaji na benchi la ufundi maarufu kwa jina la Simba Day ambayo itakuwa Septemba 10 2025.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleTatizo la Man U lipo kwa klabu sio wachezaji – Ruud Gullit
    Next Article PITIA MAGAZETI YA MICHEZO LEO TAREHE 29 AGOSTI 2025

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.