Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป HUU HAPA UKWELI WA AUCHO KUCHEZA SIMBA
    KITAIFA

    HUU HAPA UKWELI WA AUCHO KUCHEZA SIMBA

    By AdminAugust 3, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    WAKATI akitajwa kuwa huenda anaweza kuwa nyeupe na nyekundu kiungo mkabaji Khalid Aucho inaelezwa kuwa mpango huo ni ngumu kukamilika.

    Tetesi zimekuwa zikieleza kuwa Simba SC inahitaji huduma ya Aucho ambaye mkataba wake umegota mwisho ndani ya Yanga SC msimu wa 2024/25.

    Kwa sasa ni mchezaji huru na amewashukuru Yanga SC na mashabiki kwa kuwa naye bega kwa bega nyakati zote hizo alipokuwa na uzi wa kijani na njano.

    Aucho msimu wa 2024/25 kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika alihusika kwenye mabao mawili, alifunga bao moja na kutoa pasi moja ya bao.

    Taarifa zinaeleza kuwa mchezaji Aucho kwa sasa hayupo tayari kucheza ndani ya Tanzania kwa timu nyingine nje ya Yanga SC hivyo atakwenda kupata changamoto nje ya Bongo.

    Kwa maana hiyo ikiwa Simba SC wanahitaji saini ya Aucho kwa msimu wa 2025/26 itakuwa ngumu kwao kuipata kulingana na mipango ya mchezaji mwenyewe kwa sasa.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMAPILI TAREHE 3-8-2025
    Next Article WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA UFUNGUZI MICHUANO YA CHAN 2024

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.