Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » HIKI HAPA KIKOSI RASMI CHA SIMBA SC 2025/26
    KITAIFA

    HIKI HAPA KIKOSI RASMI CHA SIMBA SC 2025/26

    By AdminSeptember 11, 20251 Comment2 Mins Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    kikosi rasmi cha simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Kikosi Rasmi cha Simba Sc 2025/2026

    Wekundu wa Msimbazi Simba SC tayari wamekamilisha usajili wa wachezaji kutoka vilabu mbalimbali ili kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu mpya wa 2025/2026. Msimu huu unatarajiwa kuanza kwa kishindo kupitia Kariakoo Derby, ambapo Simba SC watakutana na watani wao wa jadi Yanga SC katika fainali ya Ngao ya Jamii.

    Simba SC wamejipanga upya kwa kuunganisha wachezaji wenye uzoefu, vipaji vipya, pamoja na nyota waliobaki msimu uliopita, lengo likiwa ni kurejesha ubabe wao kwenye ligi kuu ya NBC na mashindano ya kimataifa ya CAF.

    Walinda Mlango (Goalkeepers)

    1. Moussa Camara
    2. Yakoub Suleiman Ali

    Mabeki (Defenders)

    1. Rushine De Reuck – Centre-Back
    2. Abdulrazack Hamza – Centre-Back
    3. Wilson Nangu – Centre-Back
    4. Chamou Karaboue – Centre-Back
    5. David Kameta – Right-Back
    6. Shomari Kapombe – Right-Back

    Viungo wa Kati (Midfielders)

    1. Yusuph Kagoma – Defensive Midfield
    2. Alassane Kanté – Central Midfield
    3. Naby Camara – Central Midfield
    4. Mzamiru Yassin – Central Midfield
    5. Hussein Semfuko – Central Midfield
    6. Neo Maema – Attacking Midfield
    7. Morice Abraham – Attacking Midfield
    8. Jean Charles Ahoua – Attacking Midfield
    9. Awesu Ally Awesu – Attacking Midfield

    Winga (Wingers)

    1. Denis Kibu – Left Winger
    2. Salehe Karabaka – Left Winger
    3. Mohammed Bajaber – Left Winger
    4. Joshua Mutale – Right Winger
    5. Valentino Mashaka – Right Winger
    6. Ladaki Chasambi – Right Winger
    7. Elie Mpanzu – Right Winger

    Washambuliaji (Forwards)

    1. Steven Mukwala – Centre-Forward
    2. Selemani Mwalimu – Centre-Forward
    3. Jonathan Sowah – Centre-Forward

    Simba SC wanaingia msimu WA 2025/2026 huu wakiwa na malengo makubwa ya kurejesha heshima yao katika soka la Tanzania na Afrika. Uwepo wa mastaa kama Steven Mukwala, Shomari Kapombe, pamoja na viungo wapya wenye ubora kama Neo Maema na Alassane Kanté unatarajiwa kuongeza nguvu na ubunifu ndani ya kikosi.

    Kwa upande wa mashabiki, matarajio ni kuona kikosi kipya kikiendana na kasi ya ushindani wa ligi na kuhakikisha Simba SC inapata matokeo bora dhidi ya wapinzani wao wa jadi na katika michuano ya CAF Champions League.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleKIUNGO MPYA YANGA SC AJIPA KAZI, YANGA DAY INANUKIA
    Next Article RATIBA YA NBC PREMIER LEAGUE 2025/2026 | LIGI KUU TANZANIA BARA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    View 1 Comment

    1 Comment

    1. GAMRAJ on September 18, 2025 18:45

      Kikosi ni kikali sana cha simba na yanga pia

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.