Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » HIKI HAPA KIKOSI KAMILI CHA YANGA 2025/26 | WACHEZAJI WOTE WA YANGA
    KITAIFA

    HIKI HAPA KIKOSI KAMILI CHA YANGA 2025/26 | WACHEZAJI WOTE WA YANGA

    By AdminSeptember 10, 2025No Comments2 Mins Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Kikosi Kamili cha Yanga 2025/26
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Kikosi Kamili cha Yanga 2025/26 | Wachezaji Wote wa Yanga

    Licha ya kuibuka na mafanikio makubwa katika msimu wa 2024/2025, timu ya wananchi Young Africans SC (Yanga SC) imeendelea kuonesha kiu na dhamira ya kutaka kurudia mafanikio hayo kwa kishindo msimu wa 2025/2026.

    Uongozi wa klabu umefanya maboresho makubwa katika kikosi, wakisajili wachezaji wapya na kuimarisha nafasi muhimu ili kuhakikisha timu inabaki kwenye ubora wake wa ndani na kimataifa.

    Msimu mpya wa Ligi Kuu Bara pamoja na mashindano ya kimataifa unatarajiwa kuanza rasmi tarehe 17 Septemba 2025, na tayari mashabiki wa Yanga wana shauku kubwa kuona mastaa wao wapya na wa zamani wakipambana uwanjani.

    Katika makala hii tumekuandalia orodha kamili ya Kikosi cha Yanga 2025/2026 | Wachezaji Wote wa Yanga ikiwa na majina ya wachezaji wote waliopo kikosini, nafasi wanazocheza pamoja na mataifa wanayotokea.

    wiki ya wananchi yanga

    Kikosi cha Yanga 2025/2026 | Wachezaji Wote wa Yanga

    Jina la Mchezaji Nafasi Taifa
    Djigui Diarra Kipa Mali
    Khomeiny Abubakar Kipa Tanzania
    Abuutwalib Mshary Kipa Tanzania
    Ibrahim Hamad Beki wa Kati Tanzania
    Dickson Job Beki wa Kati Tanzania
    Bakari Mwamnyeto Beki wa Kati Tanzania
    Shaibu Mtita Beki wa Kati Tanzania
    Mohamed Hussein Beki wa Kushoto Tanzania
    Nickson Kibabage Beki wa Kushoto Tanzania
    David Bryson Beki wa Kushoto Tanzania
    Chadrack Boka Beki wa Kushoto DR Congo
    Kouassi Yao Beki wa Kulia Ivory Coast
    Israel Mwenda Beki wa Kulia Tanzania
    Issack Mtengwa Beki wa Kulia Tanzania
    Kibwana Shomari Beki wa Kulia Tanzania
    Moussa Balla Conté Kiungo wa Ulinzi Guinea
    Omary Mfaume Bibo Kiungo wa Kati Tanzania
    Aziz Andabwile Kiungo wa Ulinzi Tanzania
    Abdul Nasir Asaa Mohammed Kiungo wa Kati Tanzania
    Salum Abubakar “Sure Boy” Kiungo wa Ulinzi Tanzania
    Mudathir Yahya Kiungo wa Kati Tanzania
    Mohamed Doumbia Kiungo wa Kati Ivory Coast
    Jonas Mkude Kiungo wa Kati Tanzania
    Shekhani Khamis Kiungo wa Kati Tanzania
    Duke Abuya Kiungo wa Kati Kenya
    Clatous Chama Kiungo Mshambuliaji Zambia
    Lassine Kouma Kiungo Mshambuliaji Ivory Coast
    Denis Nkane Kiungo Mshambuliaji Cameroon
    Faridi Mussa Winga wa Kushoto Tanzania
    Celestine Ecua Winga wa Kushoto DR Congo
    Maxi Nzengeli Winga wa Kushoto DR Congo
    Edmund Godfrey John Winga wa Kushoto Tanzania
    Pacome Zouzoua Winga wa Kulia Ivory Coast
    Jonathan Ikanga Lombo Winga wa Kulia DR Congo
    Offen Chikola Winga wa Kulia Zambia
    Prince Dube Mshambuliaji wa Kati Zimbabwe
    Andy Boyeli Mshambuliaji wa Kati DR Congo
    Jean Baleke Mshambuliaji wa Kati DR Congo
    Clement Mzize Mshambuliaji wa Kati Tanzania
    Yanga SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticlePITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 10,2025
    Next Article KOMBE LA DUNIA 2026: WAFUNGAJI BORA AFRIKA WATAWAPELEKA WAPI MATAIFA YAO?

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.