Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » HAWA HAPA WAAMUZI WA MCHEZO WA KARIAKOO DABI YA SEPT 16
    KITAIFA

    HAWA HAPA WAAMUZI WA MCHEZO WA KARIAKOO DABI YA SEPT 16

    By AdminSeptember 15, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    kariakoo dabi
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    JOTO la Kariakoo Dabi linazidi kupanda kwa kasi ambapo watani hawa wa jadi wanatarajiwa kukutana Uwanja wa Mkapa, Septemba 16 2025 katika mchezo wa fainali.

    Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania, Cliford Ndimbo ametaja orodha ya waamuzi ambao watakuwa kwenye mchezo huo muhimu wa ufunguzi wa msimu mpya wa 2025/26.

    Ikumbukwe kwamba waamuzi hao watakabidhiwa vifaa vya kazi kutoka JustFit ambao wamebainisha kuwa watatoa na mipira maalumu kwa ajili ya mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara.

    Hawa hapa waamuzi wa  Kariakoo Dabi, Septemba 16 2025, Ngao ya Jamii namna hii:-Mwamuzi wa kati ni Ahmed Arajiga, mwamuzi msaidizi ni Mohamed Mkono, mwamuzi msaidizi namba 2 ni Kassim Mpanga, mwamuzi wa akiba ni Ramadhani Kayoko na mtathimini waamuzi ni Soud Abdi.

    Mchezo wa mwisho wababe hawa wawili kukutana ilikuwa ni Juni 25 2025 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ya NBC.

    BONYEZA HAPA KU DOWNLOAD NYIMBO ZA MPYA ZA GOSPEL KILA SIKU

    Simba SC Yanga SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleHUYU HAPA MTANZANIA WA KWANZA KUPATA MEDALI YA DHAHABU
    Next Article Habari Kubwa Katika Magazeti ya Tanzania leo Septemba 16, 2025

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.