Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป FEI TOTO RASMI KUCHEZA TIMU HII MSIMU WA 2025/2026
    KITAIFA

    FEI TOTO RASMI KUCHEZA TIMU HII MSIMU WA 2025/2026

    By AdminJuly 16, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    FEISAL Salum kiungo mshambuliaji wa Azam FC kuna asilimia ndogo kuondoka kwenye viunga hivyo kutokana na dau ambalo mabosi wamemuongezea kuelekea msimu wa 2025/25.

    Taarifa zilikuwa zinaeleza kuwa kiungo huyo asilimia kubwa ataondoka hapo na timu ambayo ilikuwa inatajwa kwa ukaribu ilikuwa ni Simba SC.

    Mkataba wake na Azam FC ni mwaka mmoja umebaki hivyo atautumia wote kuwa hapo msimu ujao. Simba SC inatajwa kuwa jitihada za kumpata mchezaji huyo zimegonga mwamba.

    Rekodi zinaonyesha kuwa Feisal ni kiungo namba moja kwenye kutengeneza pasi nyingi ambazo ni 13 za mabao. Pasi yake ya kwanza alitoa kwenye mchezo dhidi ya KMC FC alimpa mshikaji wake Idd Nado.

    Ni mabao manne alifunga msimu wa 2024/25 hivyo kahusika kwenye mabao 17 kati ya 56 yaliyofungwa na timu hiyo iliyomaliza ligi ikiwa nafasi ya tatu na pointi 63. Baada ya kucheza mechi 30 ambazo ni dakika 2,700 alianza kikosi cha kwanza mechi 26.

    Hivi karibuni, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano, Azam FC, Thabit Zakaria aliweka wazi kuwa Feisal atakuwa ndani ya kikosi hicho kwa msimu wa 2025/26.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMWAMBA HUYU WA KAZI KUSAINI YANGA SC
    Next Article ISHU YA AUCHO NA YANGA YAFIKIA HAPA KWA SASA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.