Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » FADLU DAVIDS ATAJA NI WACHEZAJI GANI WATABAKI SIMBA
    KITAIFA

    FADLU DAVIDS ATAJA NI WACHEZAJI GANI WATABAKI SIMBA

    By AdminJuly 17, 20251 Comment1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    FADLU Davids, Kocha Mkuu wa Simba SC amekabidhiwa rungu la kufanya maamuzi kwa wachezaji ambao wanapaswa kuondoka katika kikosi hicho na wale ambao watabaki kwa msimu wa 2025/26.

    Miongoni mwa wachezaji ambao Fadlu amebainisha kwamba anahitaji wabaki inaelezwa ni beki Mohamed Hussen ambaye mkataba wake umeisha akiwa anatajwa kuwa katika rada za Yanga SC.

    Kocha huyo alifanya kikao na Rais wa Simba SC, Mo Dewji hivyo kuna uwezekano mkubwa akaendelea kuwa katika kikosi hcho kwa msimu mpya wa 2025/26.

    Muda mfupi walipokutana Mo aliandika namna hii: “Tulia. Tathmini. Panga upya. Nimefurahi kuwa na mazungumzo ya maana na Kocha Fadlu katika msimu wake wa kwanza, akiwa na kikosi kipya na benchi jipya la ufundi, ameiongoza Simba SC kufika fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF.

    “Chini ya Kocha Fadlu Davids, Simba imefika fainali ya CAF Confederation Cup, fainali ya pili ya kimataifa katika historia ya klabu. Msimu huu ulikuwa wa kujenga timu. Na bado tukafika fainali, licha ya upinzani mkali. Simba haitazuilika msimu ujao.”

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleISHU YA AUCHO NA YANGA YAFIKIA HAPA KWA SASA
    Next Article LAMINE YAMAL KUSALIA BARCA MPAKA 2031, APEWA JEZI YA HESHIMA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    View 1 Comment

    1 Comment

    1. Benard kayingo on July 17, 2025 12:35

      Nataman kuona timu zinafanya usajili mzuri wenye hadhi ya FIFA ili tuongeze alama kwenye rank za CAF Kupitia timu zitakazoshirik mashindano ya kimataifa msimu ujao

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.