Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป FADLU ATHIBITISHA KUONDOKA SIMBA, AWAAGA MASHABIKI KWA HESHIMA
    KITAIFA

    FADLU ATHIBITISHA KUONDOKA SIMBA, AWAAGA MASHABIKI KWA HESHIMA

    By AdminSeptember 22, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Fadlu
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Baada ya kuagana rasmi na mabingwa wa kihistoria wa Tanzania, Simba SC, kocha raia wa Afrika Kusini Fadlu Davids sasa amejiunga na wakali wa Morocco, Raja Club Athletic, kama kocha mkuu.

    Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo vya karibu na klabu hiyo, makubaliano yote kati ya pande mbili yamekamilika, na Fadlu anarejea katika timu aliyowahi kuitumikia kama kocha msaidizi. Wakati huo, Raja walitwaa ubingwa wa Botola Pro bila kupoteza mchezo wowote msimu mzima, rekodi iliyowaweka kileleni barani Afrika.

    Kwa sasa, Davids yupo nchini Afrika Kusini na anatarajiwa kuondoka kesho kuelekea Morocco ili kuanza rasmi majukumu yake. Hatua hii inafungua ukurasa mpya wa maisha yake ya ukocha, safari ambayo safari hii anaingia kama kocha mkuu wa Raja Casablanca.

    Raja Club Athletic, moja ya vilabu vikongwe na vyenye mashabiki wengi barani Afrika, imepania kurejea katika nafasi ya juu zaidi, hasa kwenye mashindano ya CAF Champions League. Uongozi wa klabu hiyo umeahidi kumpa Fadlu na benchi lake la ufundi sapoti ya kutosha kuhakikisha ndoto hizo zinatimia.

    Kwa ujio wake, mashabiki wa Raja wanatarajia mwendelezo wa falsafa yake ya soka ya kushambulia kwa kasi na nidhamu ya kiufundi, huku wakiamini anaweza kurejea utukufu wa zamani wa klabu hiyo.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleFADLU SAFARI YA KUIACHA SIMBA, RASMI IMEWADIA, KUONDOKA KESHO
    Next Article SIMBA YATANGAZA RASMI UWANJA WA MKAPA KUWA UWANJA WAO WA NYUMBANI 2025/2026

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.