Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป Droo ya Hatua ya 64 Bora Kombe la Shirikisho la CRDB Kufanyika Februari 09
    KITAIFA

    Droo ya Hatua ya 64 Bora Kombe la Shirikisho la CRDB Kufanyika Februari 09

    By AdminFebruary 9, 2026No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Droo ya Hatua ya 64 Bora Kombe la Shirikisho la CRDB Kufanyika Februari 09
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Droo ya Hatua ya 64 Bora Kombe la Shirikisho la CRDB Kufanyika Februari 09

    Michuano ya Kombe la Shirikisho la CRDB inatarajiwa kuendelea Jumatatu hii, Februari 09, kwa kufanyika droo ya Hatua ya 64 Bora, hatua ambayo itashuhudia kuanza kwa ushiriki wa timu za NBC Premier League katika mashindano hayo.

    Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa, droo hiyo itafanyika kuanzia saa 6:00 mchana na itarushwa moja kwa moja kupitia AzamSports1HD.

    Droo ya Hatua ya 64 Bora Kombe la Shirikisho la CRDB kufanyika Februari 09 inaweka wazi upangaji wa michezo kwa hatua inayofuata ya mashindano hayo.

     

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleIFIKE MAHALA TUKUBALIANE KUWA ARSENAL BINGWA
    Next Article Azam Yaandika Historia Mpya CAF Baada ya Kuvunja Rekodi ya Simba

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.