Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home ยป DEPU VUA KINYAGO WEWE NI BALOTELI
    KITAIFA

    DEPU VUA KINYAGO WEWE NI BALOTELI

    By AdminFebruary 16, 2026No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Mshambuliaji wa kimataifa kutoka Angola, Depu, anaendelea kuthibitisha ubora wake ndani ya kikosi cha Young Africans SC kwa kuwa tegemeo muhimu la mabao tangu alipojiunga na klabu hiyo ya Jangwani.

    Katika michezo sita aliyocheza hivi karibuni, Depu amehusika moja kwa moja kwenye mabao sita akifunga mabao matano na kutoa pasi moja ya bao takwimu zinazoonyesha ufanisi wake mkubwa katika safu ya ushambuliaji.

    Ameonyesha makali zaidi katika michezo dhidi ya Kabylie na Dodoma Jiji, akifunga mabao mawili kila timu, huku akiongeza bao moja dhidi ya Mashujaa. Hata hivyo, hakufanikiwa kufunga katika michezo miwili dhidi ya Al Ahly pamoja na mchezo mmoja dhidi ya AS FAR.

    Kwa mwenendo huu, Depu anaendelea kuwa moja ya silaha kuu ya ushambuliaji kwa Yanga katika mashindano ya ndani na kimataifa.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleUKWELI KUHUSU ISHU YA PENATI YA NAMUNGO
    Next Article IBENGE: TUMEFANYA VIZURI MSIMU HUU, MSIMU UJAO TUTAWAONYESHA ZAIDI

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.