Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » CHAN KUWAPA WACHEZAJI AZAM FC
    KITAIFA

    CHAN KUWAPA WACHEZAJI AZAM FC

    By AdminJuly 21, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    AZAM FC matajiri wa Dar wamepanga kutumia michuano ya Kimataifa Afrika (Chan) kwa ajili ya kufanya usajili wa msimu ujao wa 2025/26.

    Ipo wazi kwamba CHAN mchezo wake wa ufunguzi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Agosti 2 kati ya Tanzania ambao ni wenyeji itakuwa dhidi ya Burkina Faso.

    Tayari Azam FC imekamilisha usajili wa kipa mzawa Aishi Manula ambaye alikuwa ndani ya kikosi cha Simba SC amerejea kwa mara nyingin ndani ya kikosi hicho kwa changamoto mpya 2025/26.

    Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Azam, Thabit Zakaria amesema kuwa wamepanga kusajili wachezaji wa kigeni wenye uzoefu wa kimataifa wakati wakijiandaa na Kombe la Shirikisho Afrika.

    “Hatutaki kukurupuka katika usajili wetu, hivyo tutazingatia uzoefu wa wachezaji wa kucheza michuano ya kimataifa, hivyo tutatumia Chan kufanya skauti, “amesema Zakaria.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleBELLINGHAM ASHUKURU MADAKTARI KUFANIKISHA UPASUAJI
    Next Article CV YA MOUSSA BALLA CONTE, MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 2025/2026

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.