Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » BEKI WA SIMBA CHE MALONE AANZA KAZI USM ALGER
    KITAIFA

    BEKI WA SIMBA CHE MALONE AANZA KAZI USM ALGER

    By AdminAugust 5, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Che Malone
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    BAADA ya kutambulishwa katika Klabu ya USM Algers ya nchini Algeria beki Fondoh Che Malone ameanza mazoezi katika kikosi hicho.

    Beki huyo anashikilia rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga ndani ya kikosi cha Simba SC kwenye mechi za ligi ilikuwa Uwanja wa KMC, Mwenge Dar.

    Katika mchezo huo Che Malone alifungua ukurasa wa mabao kwa kutumia pasi ya kiugo mshambuliaji Jean Ahoua ambaye ni namba moja kwa kufunga mabao mengi akiwa nayo 16 kibindoni.

    Che Malone ambaye alifungua ukurasa wa mabao kwenye mchezo dhidi ya Tabora United dakika ya 13 kwa pigo la kichwa  wiki hii alitambulishwa USM Algers ambako Simba SC ilimuuza baada ya klabu hiyo kuonyesha nia ya kumuhitaji baada ya kuonyesha kiwango kikubwa.

    Che Malone anachukua nafasi ya Kelvin Mondeko ambaye mkataba wake ulivunjwa baada ya makubaliano ya pande mbili.

    Julai 30 2025, Che Malone alipewa Thank You na Simba SC ambayo imeweka kambi nchini Misri kwa maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleRASMI: CLEMENT MZIZE KUUZWA KWA WAARABU TIMU HII
    Next Article KISA SIMBA, ZIMBWE AMJIA JUU ALI KAMWE ‘NAIHESHIMU SIMBA’

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.