Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » AUGUST HII, SIMBA KUKIPIGA NA ‘APR’ YA KUTOKA RWANDA?
    KITAIFA

    AUGUST HII, SIMBA KUKIPIGA NA ‘APR’ YA KUTOKA RWANDA?

    By AdminJuly 18, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Klabu ya Simba imeripotiwa kupokea mwaliko kutoka nchini Rwanda wa klabu ya APR kucheza mechi ya kirafiki.

    APR ambayo itaiwakilisha Rwanda kwenye michuano ya ligi ya mabingwa (CAF CL) msimu ujao, imeomba kujipima na Simba katika mchezo ambao umepangwa kupigwa kati ya August 1 na August 03

    Bado Simba haijathibitisha kushiriki mchezo huo kwani itategemea na mipango yake ya Pre-Season

    Endapo Simba itaweka kambi yake ya Pre-Season nje ya Tanzania huenda ikashindwa kushiriki mchezo huo katika tarehe iliyopangwa

    Kulingana na taarifa za awali, kikosi cha Simba kinatarajiwa kuanza maandalizi ya pre-season Julai 25, siku ya Ijumaa.

    Simba SC
    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMAGAZETI YA TAARIFA ZA MICHEZO LEO TAREHE 18-7-2025
    Next Article MASHABIKI WAMJIA JUU GYOKERES KISA KUHAMIA ARSENAL

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.