Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Contact Us
    • Privacy Policy
    Facebook Instagram YouTube
    Chikao Media
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • MAGAZETI YA LEO
    • TETESI ZA SOKA
    • BOXING
    • FORUM
    Chikao Media
    Home » AHMED AZUNGUMZIA JUU YA TAARIFA ZA MPANZU KUTOPOKEA SIMU
    KITAIFA

    AHMED AZUNGUMZIA JUU YA TAARIFA ZA MPANZU KUTOPOKEA SIMU

    By AdminAugust 5, 2025No Comments1 Min Read
    Share WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Telegram Email Copy Link
    Follow Us
    Facebook Instagram YouTube
    mpanzu
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email Copy Link

    Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba Ahmed Ally amezungumza kuhusu taarifa zilizoibuka asubuhi ya leo kuhusu mshambuliaji wao raia wa DR Congo Ellie Mpanzu kuwa amegoma kuwasili kambini mpaka sasa na amewazimia simu viongozi wake.

    Ahmed Ally ameandika ujumbe huku akiwajibu wazushi wa taarifa hizo na kuwataka wamtambulishe kwa sasabu nyota huyo hayupo kambini na wanahisi yupo kwao.

    “Waliosema Mpanzu harudi Simba ndio wanaohangaika kusema yupo Misri😀😀Waliojibadilisha majina na kujiita Eliiiza ndio wanapambana kutuma watu waandike Mpanzu amewasili kambini Misri leo”.

    “Yaani ghafla wamekua wasemaji wa kambi yetu.Na sisi tunawaambia mtambulisheni sasa huku kwetu hayupo tunahisi yupo kwenu😀😀”Ameandika Ahmed Ally.

    Follow on Facebook Follow on Instagram Follow on YouTube
    Share. WhatsApp Facebook Twitter Pinterest Email Copy Link
    Previous ArticleMAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMANNE TAREHE 5-8-2025
    Next Article SAMATTA KUCHEZA LIGI KUU YA UFARANSA

    Related Posts

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    April 3, 2026

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    April 3, 2026

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    March 31, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    Bernardo Apewa Thank You Rasmi Man City

    Ujenzi wa Arena, Serikali Yatenga Bil400

    Selemani Mwalimu Yupo Anakuja, Mjiandae

    MSIGWA AELEZA SABABU ZA KUONGEZEKA GHARAMA UWANJA WA ARUSHA

    Neymar amuachia Mungu kutoitwa timu ya Taifa

    “Nimehuzunika,Nimeumia lakini ndoto bado inaishi”Neymar Jr.

    © 2026 CHIKAO MEDIA | All Rights Are Reserved
    • Contact Us
    • Privacy Policy

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.